Watongwe

Watongwe ni kabila la watu kutoka eneo la Ziwa Tanganyika, Wilaya ya Kigoma Vijijini, sehemu ya magharibi ya nchi ya Tanzania. Lugha yao ni Kitongwe.

Mwaka 2000 idadi ya Watongwe ilikadiriwa kuwa 31,551 [1]. Inawezekana kwamba idadi yao ni kubwa zaidi, ila hujitokeza kama Wamanyema, wengine wanapokuwa Tabora hujiita Wanyamwezi, wakiwa Lyambalya Mfipa Wafipa, na wakiwa Uvinza Watongwe.

  1. [1]

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search